Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 3:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 “Aliye na masikio, basi, na ayasikie yale Roho anayoyaambia makanisa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho wa Mungu ayaambia makundi ya waumini.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makundi ya waumini.”

Tazama sura Nakili




Ufunuo 3:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu akiwa na masikio ya kusikilia, na asikie.]


Basi kanisa likapata raha kote katika Yudea na Galilaya na Samaria, likajengwa, likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana, na faraja ya Roho Mtakatifu.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana na madhara ya mauti ya pili.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.


Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzawa wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho anayaambia makanisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo