Ufunuo 3:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo uwe na bidii na kutubu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo uwe na bidii na kutubu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Mimi ndiye mwenye kumwonya na kumrudi yeyote ninayempenda. Kwa hiyo uwe na bidii na kutubu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Wale ninaowapenda, ninawakemea na kuwaadibisha. Hivyo uwe na bidii ukatubu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 “Wale niwapendao, ninawakemea na kuwaadibisha. Hivyo uwe na bidii ukatubu. Tazama sura |