Ufunuo 3:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: “Mimi niitwaye Amina, shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu nasema hivi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: “Mimi niitwaye Amina, shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu nasema hivi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 “Kwa malaika wa kanisa la Laodikea andika hivi: “Mimi niitwaye Amina, shahidi mwaminifu na wa kweli, ambaye ni chanzo cha viumbe vyote alivyoumba Mungu nasema hivi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Laodikia, andika: Haya ndio maneno yake yeye aliye Amen, shahidi mwaminifu na wa kweli, mtawala wa uumbaji wote wa Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 “Kwa malaika wa kundi la waumini lililoko Laodikia, andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye Amen, shahidi mwaminifu na wa kweli, mtawala wa uumbaji wote wa Mungu. Tazama sura |