Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 21:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

26 Nao wataleta utukufu na heshima ya mataifa ndani yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Fahari na utajiri wa watu wa mataifa utaletwa humo ndani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Fahari na utajiri wa watu wa mataifa utaletwa humo ndani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Fahari na utajiri wa watu wa mataifa utaletwa humo ndani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Utukufu na heshima za mataifa zitaletwa humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Utukufu na heshima za mataifa zitaletwa humo.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 21:26
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wafalme wa Tarshishi na visiwa na walete kodi; Wafalme wa Sheba na Seba na watoe vipawa.


Na wafalme watakuwa baba zako walezi, na malkia zao mama zako walezi; watainama mbele yako kifudifudi, na kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe utajua ya kuwa mimi ni BWANA, tena waningojeao hawatatahayarika.


Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hayatafungwa mchana wala usiku; Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa, Huku wakiwaongoza wafalme wao.


Utanyonya maziwa ya mataifa, Utanyonya matiti ya wafalme; Nawe utajua ya kuwa mimi, BWANA, ni mwokozi wako, Na mkombozi wako, Mwenye enzi wa Yakobo.


Na mataifa watatembea katika nuru yake. Na wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo