Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 21:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

25 Na milango yake haitafungwa kamwe mchana; kwa maana humo hamna usiku.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Milango ya mji huo itakuwa wazi mchana wote; maana hakutakuwa na usiku humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Milango ya mji huo itakuwa wazi mchana wote; maana hakutakuwa na usiku humo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Milango ya mji huo itakuwa wazi mchana wote; maana hakutakuwa na usiku humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Malango yake hayatafungwa kamwe, kwa maana hakutakuwa na usiku humo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Malango yake hayatafungwa kamwe, kwa maana hakutakuwa na usiku humo.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 21:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Malango yako nayo yatakuwa wazi daima; Hayatafungwa mchana wala usiku; Ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa, Huku wakiwaongoza wafalme wao.


Jua lako halitashuka tena, Wala mwezi wako hautajitenga; Kwa kuwa BWANA mwenyewe atakuwa nuru yako ya milele; Na siku za kuomboleza kwako zitakoma.


lakini itakuwa siku moja, iliyojulikana na BWANA; si mchana, wala si usiku; lakini itakuwa, ya kwamba wakati wa jioni kutakuwako nuru.


ulikuwa na ukuta mkubwa, mrefu, wenye milango kumi na miwili, na katika ile milango malaika kumi na wawili; na majina yameandikwa ambayo ni majina ya makabila kumi na mawili ya Waisraeli.


Na yeye aliyesema nami alikuwa na mwanzi wa dhahabu, apate kuupima huo mji, na milango yake, na ukuta wake.


Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza, kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru, na taa yake ni Mwana-kondoo.


Wala hapatakuwa na usiku tena; wala hawana haja ya taa wala ya nuru ya jua; kwa kuwa Bwana Mungu huwatia nuru, nao watatawala hata milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo