Ufunuo 19:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Naye amevikwa vazi lililoloweshwa katika damu, na jina lake anaitwa, Neno la Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Amevaa joho lililoloweshwa katika damu, na Jina lake ni Neno la Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Amevaa joho lililochoviwa katika damu, na Jina lake ni “Neno la Mungu.” Tazama sura |