Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 19:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Naye amevikwa vazi lililoloweshwa katika damu, na jina lake anaitwa, Neno la Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Alikuwa amevaa vazi lililokuwa limelowekwa katika damu. Na jina lake huyo ni “Neno la Mungu”.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Amevaa joho lililoloweshwa katika damu, na Jina lake ni Neno la Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Amevaa joho lililochoviwa katika damu, na Jina lake ni “Neno la Mungu.”

Tazama sura Nakili




Ufunuo 19:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki atafurahi akionapo kisasi; Ataiosha miguu yake katika damu ya wasio haki.


Maana silaha zote za mtu mwenye silaha wakati wa mshindo, na mavazi yaliyovingirishwa katika damu, yatakuwa tayari kuteketezwa, yatakuwa kuni za kutiwa motoni.


Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.


Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.


Lile lililokuwako tangu mwanzo, tulilolisikia, tuliloliona kwa macho yetu, tulilolitazama, na mikono yetu ikalipapasa, kuhusu Neno la uzima;


Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.


Shinikizo lile likakanyagwa nje ya mji, damu ikatoka katika shinikizo mpaka kwenye hatamu za farasi, kama mwendo wa maili mia mbili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo