Ufunuo 18:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 wakalia sana, walipouona moshi wa kuungua kwake, wakisema, Ni mji upi ulio kama mji huu mkubwa! Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 na walipouona moshi wa moto ule uliouteketeza, wakalia kwa sauti: “Hakujapata kuwako mji kama mji huu mkuu!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 na walipouona moshi wa moto ule uliouteketeza, wakalia kwa sauti: “Hakujapata kuwako mji kama mji huu mkuu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 na walipouona moshi wa moto ule uliouteketeza, wakalia kwa sauti: “Hakujapata kuwako mji kama mji huu mkuu!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Watakapouona moshi wa kuungua kwake watalia wakisema, ‘Je, kulipata kuwako mji mkubwa kama huu?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Watakapouona moshi wa kuungua kwake watalia wakisema, ‘Je, kulipata kuwako mji mkubwa kama huu?’ Tazama sura |