Ufunuo 17:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Malaika akaniambia pia, “Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi: Ni makundi ya watu wa kila taifa, rangi na lugha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Malaika akaniambia pia, “Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi: Ni makundi ya watu wa kila taifa, rangi na lugha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Malaika akaniambia pia, “Yale maji uliyoyaona pale alipokaa yule mzinzi: ni makundi ya watu wa kila taifa, rangi na lugha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kisha yule malaika akaniambia, “Yale maji uliyoyaona yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa, makundi ya watu, mataifa na lugha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kisha yule malaika akaniambia, “Yale maji uliyoyaona yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa, makutano, mataifa na lugha. Tazama sura |