Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Ufunuo 14:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Na katika vinywa vyao haukuonekana uongo. Maana hawana mawaa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hawakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 14:5
20 Marejeleo ya Msalaba  

Heri ambaye BWANA hamhesabii hatia, Na ambaye rohoni mwake hamna hila.


Uuzuie ulimi wako na mabaya, Na midomo yako na kusema hila.


Tamaa mbaya zimo ndani yake; Dhuluma na hila haziondoki mitaani mwake.


Maneno yote ya kinywa changu yana haki; Hapana hata neno lililopotoka au la ukaidi.


Mpenzi wangu, u mzuri kwa ujumla, Wala ndani yako hamna kasoro.


Wakamfanyia kaburi pamoja na wabaya; Na pamoja na matajiri katika kufa kwake; Ingawa hakutenda jeuri, Wala hapakuwa na hila kinywani mwake.


Basi mawaziri na viongozi wakatafuta sana kupata sababu za kumshitaki Danieli kwa habari za mambo ya ufalme; lakini hawakuweza kuona sababu wala kosa; kwa maana alikuwa mwaminifu, wala halikuonekana kosa wala hatia ndani yake.


Moyo wao umegawanyika; sasa wataonekana kuwa na hatia; yeye atazipiga madhabahu zao, ataziharibu nguzo zao.


Mabaki ya Israeli hawatatenda uovu, wala kusema uongo; wala ulimi wa hadaa hautakuwa kinywani mwao; kwa maana watakula na kulala, wala hapana mtu atakayewatisha.


Sheria ya kweli ilikuwa kinywani mwake, wala udhalimu haukuonekana midomoni mwake; alikwenda pamoja nami katika amani na unyofu, na kuwageuza wengi hata wakaacha uovu.


Enyi wazawa wa nyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


Pilato akawaambia wakuu wa makuhani na mkutano, Sioni neno lililo ovu katika mtu huyu.


Basi Yesu akamwona Nathanaeli anakuja kwake, akanena habari zake, Tazama, Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.


apate kujiletea kanisa tukufu, lisilo na dosari wala kunyanzi wala lolote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa.


katika mwili wa nyama yake, kwa kufa kwake, ili awalete ninyi mbele zake, watakatifu, wasio na mawaa wala lawama;


basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na dosari, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai?


bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na dosari wala waa, yaani, ya Kristo.


Yeye hakutenda dhambi, wala udanganyifu haukuwapo kinywani mwake.


Kwa maana, Atakaye kupenda maisha, Na kuona siku njema, Auzuie ulimi wake usinene mabaya, Na midomo yake isiseme uongo.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo