Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Ufunuo 14:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Kisha malaika mwingine akatoka katika lile hekalu lililoko mbinguni, yeye naye ana mundu mkali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kisha, malaika mwingine akatoka katika hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kisha, malaika mwingine akatoka katika hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kisha, malaika mwingine akatoka katika hekalu mbinguni akiwa na mundu wenye makali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Malaika mwingine akatoka katika Hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Malaika mwingine akatoka katika hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.

Tazama sura Nakili




Ufunuo 14:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la Agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua kubwa ya mawe.


Na yeye aliyeketi juu ya wingu akautupa mundu wake juu ya nchi, nchi ikavunwa.


Na malaika mwingine akatoka katika ile madhabahu, yule mwenye mamlaka juu ya moto; naye akamlilia kwa sauti kuu yule mwenye mundu ule mkali, akisema, Tia mundu wako mkali, ukachume vichala vya mzabibu wa nchi, maana zabibu zake zimeiva sana.


Nikasikia sauti kuu kutoka hekaluni, ikiwaambia wale malaika saba, Nendeni mkayamwage yale mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu juu ya nchi.


Na huyo wa saba akalimimina bakuli lake juu ya anga. Sauti kuu ikatoka katika hekalu, katika kile kiti cha enzi, ikisema, Imekwisha kuwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo