Ufunuo 14:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Hivyo, ni lazima watu wa Mungu, yaani wale wanaotii amri za Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Hivyo, ni lazima watu wa Mungu, yaani wale wanaotii amri za Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Hivyo, ni lazima watu wa Mungu, yaani wale wanaotii amri za Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Hapa ndipo penye wito wa subira na uvumilivu wa watakatifu; wale wanaozishika amri za Mungu na kudumu katika uaminifu kwa Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Hapa ndipo penye wito wa subira na uvumilivu wa watakatifu; wale wanaozishika amri za Mungu na kudumu katika uaminifu kwa Isa. Tazama sura |