Ufunuo 11:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na wale wazee ishirini na wanne waketio mbele za Mungu katika viti vya enzi vyao wakaanguka kifudifudi, wakamsujudia Mungu Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kisha, wale wazee ishirini na wanne walioketi mbele ya Mungu katika viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kisha, wale wazee ishirini na wanne walioketi mbele ya Mungu katika viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kisha, wale wazee ishirini na wanne walioketi mbele ya Mungu katika viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Nao wale wazee ishirini na wanne, waliokuwa wameketi mbele za Mungu, kwenye viti vyao vya utawala, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Nao wale wazee ishirini na wanne, waliokuwa wameketi mbele za Mwenyezi Mungu, kwenye viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu, Tazama sura |