Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 9:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Hivyo Rafaeli akaondoka, akaenda akatua kwa Gabaeli, akampa ile hati. Naye akaileta ile mifuko ya fedha yenye mihuri yake, akampa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Basi, Rafaeli akaenda Rage, akalala nyumbani kwa Gabaeli. Rafaeli akampa Gabaeli ile hati yenye sahihi, na akamwarifu kwamba Tobia mwana wa Tobiti alikuwa anaoa na kwamba alimwalika kwenye harusi hiyo. Bila kukawia, Gabaeli akahesabu mifuko ya fedha iliyokuwa imefungwa na kutiwa mhuri, akamkabidhi Rafaeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Basi, Rafaeli akaenda Rage, akalala nyumbani kwa Gabaeli. Rafaeli akampa Gabaeli ile hati yenye sahihi, na akamwarifu kwamba Tobia mwana wa Tobiti alikuwa anaoa na kwamba alimwalika kwenye harusi hiyo. Bila kukawia, Gabaeli akahesabu mifuko ya fedha iliyokuwa imefungwa na kutiwa mhuri, akamkabidhi Rafaeli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Hivyo Rafaeli akaondoka, akaenda akatua kwa Gabaeli, akampa ile hati. Naye akaileta ile mifuko ya fedha yenye mihuri yake, akampa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

5 Basi, Rafaeli akaenda Rage, akalala nyumbani kwa Gabaeli. Rafaeli akampa Gabaeli ile hati yenye sahihi, na akamwarifu kwamba Tobia mwana wa Tobiti alikuwa anaoa na kwamba alimwalika kwenye harusi hiyo. Bila kukawia, Gabaeli akahesabu mifuko ya fedha iliyokuwa imefungwa na kutiwa mhuri, akamkabidhi Rafaeli.

Tazama sura Nakili




Tobiti 9:5
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo