Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 8:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Basi usiku ule wakalala usingizi wote wawili. Ragueli akaondoka mapema, akaenda akachimba kaburi;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kisha wakalala usiku huo. Wote walipokuwa usingizini, Ragueli akaamka, akawaita watumishi wake, akaenda nao kuchimba kaburi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kisha wakalala usiku huo. Wote walipokuwa usingizini, Ragueli akaamka, akawaita watumishi wake, akaenda nao kuchimba kaburi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Basi usiku ule wakalala usingizi wote wawili. Ragueli akaondoka mapema, akaenda akachimba kaburi;

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

9 Kisha wakalala usiku huo. Wote walipokuwa usingizini, Ragueli akaamka, akawaita watumishi wake, akaenda nao kuchimba kaburi,

Tazama sura Nakili




Tobiti 8:9
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo