Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 8:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Ndipo Tobia alipoanza kusema, Ee Mungu wa baba zetu, umehimidiwa; na jina lako takatifu tukufu limehimidiwa milele; mbingu nazo zikuhimidi, pamoja na viumbe vyako vyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Sara akainuka. Tobia akaanza kusali: “Utukuzwe ee Mungu wa wazee wetu. Jina lako lisifiwe milele na milele. Mbingu zikutukuze, navyo viumbe vyako vyote, milele na milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Sara akainuka. Tobia akaanza kusali: “Utukuzwe ee Mungu wa wazee wetu. Jina lako lisifiwe milele na milele. Mbingu zikutukuze, navyo viumbe vyako vyote, milele na milele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Ndipo Tobia alipoanza kusema, Ee Mungu wa baba zetu, umehimidiwa; na jina lako takatifu tukufu limehimidiwa milele; mbingu nazo zikuhimidi, pamoja na viumbe vyako vyote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

5 Sara akainuka. Tobia akaanza kusali: “Utukuzwe ee Mungu wa wazee wetu. Jina lako lisifiwe milele na milele. Mbingu zikutukuze, navyo viumbe vyako vyote, milele na milele.

Tazama sura Nakili




Tobiti 8:5
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo