Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 8:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Na wakiisha kuwamo chumbani wote wawili. Tobia akaondoka kitandani, akasema, Ndugu yangu, ondoka, ili pamoja tumwombe Mungu atuhurumie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Basi Tobia na Sara walibaki peke yao chumbani baada ya wale wazazi kwenda zao na milango kufungwa. Kisha Tobia aliondoka kitandani, akamwambia mkewe, “Inuka, dada, tumwombe Bwana atuonee huruma na kutukinga salama.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Basi Tobia na Sara walibaki peke yao chumbani baada ya wale wazazi kwenda zao na milango kufungwa. Kisha Tobia aliondoka kitandani, akamwambia mkewe, “Inuka, dada, tumwombe Bwana atuonee huruma na kutukinga salama.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Na wakiisha kuwamo chumbani wote wawili. Tobia akaondoka kitandani, akasema, Ndugu yangu, ondoka, ili pamoja tumwombe Mungu atuhurumie.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

4 Basi Tobia na Sara walibaki peke yao chumbani baada ya wale wazazi kwenda zao na milango kufungwa. Kisha Tobia aliondoka kitandani, akamwambia mkewe, “Inuka, dada, tumwombe Bwana atuonee huruma na kutukinga salama.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 8:4
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo