Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili Tobiti 8:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Baadaye aitwae nusu ya mali zake zote, aende salama kwa baba yake; akasema, Na iliyobaki utapewa nitakapokufa mimi na mke wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Baada ya hapo, utachukua nusu ya mali yangu na kumchukua Sara salama mpaka kwa wazazi wako. Mimi na Edna tutakapofariki utapata ile nusu ya mali yangu iliyobaki. Jipe moyo mwanangu! Tangu sasa mimi ni baba yako na Edna ni mama yako. Tutakuwa wazazi wako hata baadaye kama tulivyo wazazi wa Sara. Jipe moyo mwanangu!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Baada ya hapo, utachukua nusu ya mali yangu na kumchukua Sara salama mpaka kwa wazazi wako. Mimi na Edna tutakapofariki utapata ile nusu ya mali yangu iliyobaki. Jipe moyo mwanangu! Tangu sasa mimi ni baba yako na Edna ni mama yako. Tutakuwa wazazi wako hata baadaye kama tulivyo wazazi wa Sara. Jipe moyo mwanangu!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Baadaye aitwae nusu ya mali zake zote, aende salama kwa baba yake; akasema, Na iliyobaki utapewa nitakapokufa mimi na mke wangu. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA21 Baada ya hapo, utachukua nusu ya mali yangu na kumchukua Sara salama mpaka kwa wazazi wako. Mimi na Edna tutakapofariki utapata ile nusu ya mali yangu iliyobaki. Jipe moyo mwanangu! Tangu sasa mimi ni baba yako na Edna ni mama yako. Tutakuwa wazazi wako hata baadaye kama tulivyo wazazi wa Sara. Jipe moyo mwanangu!” Tazama sura |