Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Na kabla ya kuisha siku za karamu ya arusi, Ragueli akamwapisha Tobia asiondoke hata siku zile kumi na nne za karamu ya arusi zitimie.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Ragueli alimwita Tobia, akamwambia, “Sipendi kusikia juu ya safari yako mpaka baada ya majuma mawili. Utakaa papa hapa ule na kunywa pamoja nami, umfurahishe binti yangu baada ya taabu zote alizopata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Ragueli alimwita Tobia, akamwambia, “Sipendi kusikia juu ya safari yako mpaka baada ya majuma mawili. Utakaa papa hapa ule na kunywa pamoja nami, umfurahishe binti yangu baada ya taabu zote alizopata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Na kabla ya kuisha siku za karamu ya harusi, Ragueli akamwapisha Tobia asiondoke hata siku zile kumi na nne za karamu ya harusi zitimie.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

20 Ragueli alimwita Tobia, akamwambia, “Sipendi kusikia juu ya safari yako mpaka baada ya majuma mawili. Utakaa papa hapa ule na kunywa pamoja nami, umfurahishe binti yangu baada ya taabu zote alizopata.

Tazama sura Nakili




Tobiti 8:20
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo