Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 8:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Naye alipokuwa akienda, akayakumbuka maneno ya Rafaeli, akayatwaa majivu ya ubani, akavitia juu yake moyo na ini vya samaki, akafukiza moshi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Tobia alikumbuka maagizo ya Rafaeli. Basi, akafungua mfuko wake, akatoa ini na moyo wa samaki, akaviweka juu ya moto wa ubani; moshi ukafuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Tobia alikumbuka maagizo ya Rafaeli. Basi, akafungua mfuko wake, akatoa ini na moyo wa samaki, akaviweka juu ya moto wa ubani; moshi ukafuka.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Naye alipokuwa akienda, akayakumbuka maneno ya Rafaeli, akayatwaa majivu ya ubani, akavitia juu yake moyo na ini vya samaki, akafukiza moshi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

2 Tobia alikumbuka maagizo ya Rafaeli. Basi, akafungua mfuko wake, akatoa ini na moyo wa samaki, akaviweka juu ya moto wa ubani; moshi ukafuka.

Tazama sura Nakili




Tobiti 8:2
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo