Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 8:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Mara Ragueli akamhimidi Mungu, akasema, Ee Mungu, umehimidiwa kwa sifa zote zilizo safi takatifu; kwa hiyo watakatifu wakuhimidi, pamoja na viumbe vyako vyote, na malaika wako wote; na wateule wako wote wakuhimidi milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Hapo Ragueli akamtukuza Mungu wa mbinguni kwa maneno haya: “Utukuzwe ewe Mungu wangu kwa sifa za mioyo safi! Utukuzwe milele na milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Hapo Ragueli akamtukuza Mungu wa mbinguni kwa maneno haya: “Utukuzwe ewe Mungu wangu kwa sifa za mioyo safi! Utukuzwe milele na milele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Mara Ragueli akamhimidi Mungu, akasema, Ee Mungu, umehimidiwa kwa sifa zote zilizo safi takatifu; kwa hiyo watakatifu wakuhimidi, pamoja na viumbe vyako vyote, na malaika wako wote; na wateule wako wote wakuhimidi milele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

15 Hapo Ragueli akamtukuza Mungu wa mbinguni kwa maneno haya: “Utukuzwe ewe Mungu wangu kwa sifa za mioyo safi! Utukuzwe milele na milele.

Tazama sura Nakili




Tobiti 8:15
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo