Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 8:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Basi yule mjakazi akaufungua mlango, akaingia; akawakuta wote wawili wamelala.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Basi, huyo mtumishi alichukua taa, akafungua mlango wa kuingia chumbani kwao. Aliwakuta wote wawili wamelala fofofo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Basi, huyo mtumishi alichukua taa, akafungua mlango wa kuingia chumbani kwao. Aliwakuta wote wawili wamelala fofofo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Basi yule mjakazi akaufungua mlango, akaingia; akawakuta wote wawili wamelala.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

13 Basi, huyo mtumishi alichukua taa, akafungua mlango wa kuingia chumbani kwao. Aliwakuta wote wawili wamelala fofofo.

Tazama sura Nakili




Tobiti 8:13
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo