Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 7:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 kadhalika na mkewe Edna akalia, na binti yake Sara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Naye mkewe akamlilia Tobiti; hali kadhalika na Sara binti yake. Basi, Ragueli aliwakaribisha kwa furaha Tobia na Rafaeli, akawachinjia kondoo dume. Wageni walipomaliza kuoga na saa ya chakula ilipowadia, Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria! Je, utamwambia Ragueli sasa anipe dada yangu Sara?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Naye mkewe akamlilia Tobiti; hali kadhalika na Sara binti yake. Basi, Ragueli aliwakaribisha kwa furaha Tobia na Rafaeli, akawachinjia kondoo dume. Wageni walipomaliza kuoga na saa ya chakula ilipowadia, Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria! Je, utamwambia Ragueli sasa anipe dada yangu Sara?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 kadhalika na mkewe Edna akalia, na binti yake Sara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

8 Naye mkewe akamlilia Tobiti; hali kadhalika na Sara binti yake. Basi, Ragueli aliwakaribisha kwa furaha Tobia na Rafaeli, akawachinjia kondoo dume. Wageni walipomaliza kuoga na saa ya chakula ilipowadia, Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria! Je, utamwambia Ragueli sasa anipe dada yangu Sara?”

Tazama sura Nakili




Tobiti 7:8
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo