Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 7:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Akambariki, akamwambia, Wewe u mwana wake mtu mzuri mwema. Lakini aliposikia ya kama Tobiti yu kipofu akahuzunika, akalia,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Halafu akasema, “Mungu akubariki, mwanangu. Baba yako ni mtu mwema na muungwana. Inasikitisha kwamba mtu mnyofu na mkarimu kama yeye amekuwa kipofu!” Kisha akamkumbatia Tobia, na kupangusa machozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Halafu akasema, “Mungu akubariki, mwanangu. Baba yako ni mtu mwema na muungwana. Inasikitisha kwamba mtu mnyofu na mkarimu kama yeye amekuwa kipofu!” Kisha akamkumbatia Tobia, na kupangusa machozi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Akambariki, akamwambia, Wewe u mwana wake mtu mzuri na mwema. Lakini aliposikia ya kama Tobiti yu kipofu akahuzunika, akalia,

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

7 Halafu akasema, “Mungu akubariki, mwanangu. Baba yako ni mtu mwema na muungwana. Inasikitisha kwamba mtu mnyofu na mkarimu kama yeye amekuwa kipofu!” Kisha akamkumbatia Tobia, na kupangusa machozi.

Tazama sura Nakili




Tobiti 7:7
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo