Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 7:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Akafanya kama alivyomwagiza, akamleta ndani. Akalia, akayapokea na machozi ya binti yake, akamwambia, Jipe moyo mkuu, mwanangu. BWANA wa mbingu na nchi akupe kibali badala ya hii huzuni yako. Jipe moyo mkuu, mwanangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Kisha Ragueli alimwita mkewe, akamwambia, “Dada! Tayarisha kile chumba cha pili, halafu umpeleke Sara huko.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Kisha Ragueli alimwita mkewe, akamwambia, “Dada! Tayarisha kile chumba cha pili, halafu umpeleke Sara huko.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Akafanya kama alivyomwagiza, akamleta ndani. Akalia, akayapokea na machozi ya binti yake, akamwambia, Jipe moyo mkuu, mwanangu. BWANA wa mbingu na nchi akupe kibali badala ya hii huzuni yako. Jipe moyo mkuu, mwanangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

16 Kisha Ragueli alimwita mkewe, akamwambia, “Dada! Tayarisha kile chumba cha pili, halafu umpeleke Sara huko.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 7:16
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo