Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 7:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Akamwita mkewe Edna, akatwaa kitabu, akaandika hati akaitia mhuri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kisha, Ragueli akamwita binti yake. Alipoingia ndani, akamshika mkono Sara na kumkabidhi kwa Tobia huku anatamka baraka, “Namkabidhi kwako, kwa mujibu wa sheria ya Mose. Nenda naye salama nyumbani kwa baba yako. Mungu wa mbinguni awajalie safari nzuri katika amani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kisha, Ragueli akamwita binti yake. Alipoingia ndani, akamshika mkono Sara na kumkabidhi kwa Tobia huku anatamka baraka, “Namkabidhi kwako, kwa mujibu wa sheria ya Mose. Nenda naye salama nyumbani kwa baba yako. Mungu wa mbinguni awajalie safari nzuri katika amani.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Akamwita mkewe Edna, akatwaa kitabu, akaandika hati akaitia mhuri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

13 Kisha, Ragueli akamwita binti yake. Alipoingia ndani, akamshika mkono Sara na kumkabidhi kwa Tobia huku anatamka baraka, “Namkabidhi kwako, kwa mujibu wa sheria ya Mose. Nenda naye salama nyumbani kwa baba yako. Mungu wa mbinguni awajalie safari nzuri katika amani.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 7:13
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo