Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 7:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Akamwita binti yake Sara, akamshika mkono, akampa Tobia ili awe mke wake. Akasema, Tazama umtwae kama iamuruvyo Torati ya Musa, ukampeleke kwa baba yako. Akawabariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Ragueli akajibu, “Haya basi! Nitakupa umwoe kama sheria ya Mose inavyodai. Mungu mwenye huruma amepanga ndoa hii! Basi, mchukue awe mke wako. Toka sasa nyinyi ni mume na mke. Sara ni wako leo na hata milele. Mungu mwenye rehema awalinde salama usiku wa leo, na azidi kuwapenda.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Ragueli akajibu, “Haya basi! Nitakupa umwoe kama sheria ya Mose inavyodai. Mungu mwenye huruma amepanga ndoa hii! Basi, mchukue awe mke wako. Toka sasa nyinyi ni mume na mke. Sara ni wako leo na hata milele. Mungu mwenye rehema awalinde salama usiku wa leo, na azidi kuwapenda.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Akamwita binti yake Sara, akamshika mkono, akampa Tobia ili awe mke wake. Akasema, Tazama umtwae kama iamuruvyo Torati ya Musa, ukampeleke kwa baba yako. Akawabariki.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

12 Ragueli akajibu, “Haya basi! Nitakupa umwoe kama sheria ya Mose inavyodai. Mungu mwenye huruma amepanga ndoa hii! Basi, mchukue awe mke wako. Toka sasa nyinyi ni mume na mke. Sara ni wako leo na hata milele. Mungu mwenye rehema awalinde salama usiku wa leo, na azidi kuwapenda.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 7:12
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo