Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Wakafika Ekbatana, wakawasili kwenye nyumba yake Ragueli. Naye Sara akaja kuwapokea, akawasalimu, nao wakamsalimu; kisha akawapeleka ndani ya nyumba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Walipowasili mjini Ekbatana, Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria, nipeleke mara moja kwa Ragueli.” Malaika akamwongoza kijana nyumbani kwa Ragueli, Wakamkuta Ragueli ameketi kando ya mlango wa uani. Basi wakamsalimia kwanza naye Ragueli akawajibu, “Wasalaam! Karibuni ndugu zangu.” Kisha Ragueli akawaingiza wageni ndani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Walipowasili mjini Ekbatana, Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria, nipeleke mara moja kwa Ragueli.” Malaika akamwongoza kijana nyumbani kwa Ragueli, Wakamkuta Ragueli ameketi kando ya mlango wa uani. Basi wakamsalimia kwanza naye Ragueli akawajibu, “Wasalaam! Karibuni ndugu zangu.” Kisha Ragueli akawaingiza wageni ndani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Wakafika Ekbatana, wakawasili kwenye nyumba yake Ragueli. Naye Sara akaja kuwapokea, akawasalimu, nao wakamsalimu; kisha akawapeleka ndani ya nyumba.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

1 Walipowasili mjini Ekbatana, Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria, nipeleke mara moja kwa Ragueli.” Malaika akamwongoza kijana nyumbani kwa Ragueli, Wakamkuta Ragueli ameketi kando ya mlango wa uani. Basi wakamsalimia kwanza naye Ragueli akawajibu, “Wasalaam! Karibuni ndugu zangu.” Kisha Ragueli akawaingiza wageni ndani.

Tazama sura Nakili




Tobiti 7:1
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo