Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 6:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Akamwambia, Kwa habari ya moyo na ini, ikiwa jini au pepo mbaya anamsumbua mtu, yatupasa kumfukizia moshi wa vitu hivi, akiwa ni mwanamume au mwanamke, naye hataudhika tena.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Na hiyo nyongo hutumiwa kumpaka mtu yeyote aliye na vigamba vyeupe machoni, naye hupona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Na hiyo nyongo hutumiwa kumpaka mtu yeyote aliye na vigamba vyeupe machoni, naye hupona.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Akamwambia, Kwa habari ya moyo na ini, ikiwa jini au pepo mbaya anamsumbua mtu, yatupasa kumfukizia moshi wa vitu hivi, akiwa ni mwanamume au mwanamke, naye hataudhika tena.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

8 Na hiyo nyongo hutumiwa kumpaka mtu yeyote aliye na vigamba vyeupe machoni, naye hupona.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 6:8
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo