Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 6:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Malaika akamwambia, Sasa mpasue samaki huyu, ukachukue moyo na ini na nyongo, ukaviweke salama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Tobia akafanya kama malaika alivyokuwa amemwambia. Halafu akakaanga sehemu moja ya huyo samaki kwa chakula na sehemu nyingine akaitia chumvi kuihifadhi. Basi wakaendelea na safari yao pamoja mpaka walipokaribia Media.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Tobia akafanya kama malaika alivyokuwa amemwambia. Halafu akakaanga sehemu moja ya huyo samaki kwa chakula na sehemu nyingine akaitia chumvi kuihifadhi. Basi wakaendelea na safari yao pamoja mpaka walipokaribia Media.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Malaika akamwambia, Sasa mpasue samaki huyu, ukachukue moyo na ini na nyongo, ukaviweke salama.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

5 Tobia akafanya kama malaika alivyokuwa amemwambia. Halafu akakaanga sehemu moja ya huyo samaki kwa chakula na sehemu nyingine akaitia chumvi kuihifadhi. Basi wakaendelea na safari yao pamoja mpaka walipokaribia Media.

Tazama sura Nakili




Tobiti 6:5
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo