Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 6:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Malaika akamwambia, Mkamate yule samaki! Yule kijana akamkamata samaki akamkokota katika nchi kavu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Kijana akamkamata samaki na kumvutia nchi kavu. Malaika akasema, “Mpasue samaki huyo, utoe nyongo, moyo na ini lake, uviweke pembeni; lakini matumbo yatupe. Hiyo nyongo yake, moyo na ini lake vinafaa kwa dawa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Kijana akamkamata samaki na kumvutia nchi kavu. Malaika akasema, “Mpasue samaki huyo, utoe nyongo, moyo na ini lake, uviweke pembeni; lakini matumbo yatupe. Hiyo nyongo yake, moyo na ini lake vinafaa kwa dawa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Malaika akamwambia, Mkamate yule samaki! Yule kijana akamkamata samaki akamkokota katika nchi kavu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

4 Kijana akamkamata samaki na kumvutia nchi kavu. Malaika akasema, “Mpasue samaki huyo, utoe nyongo, moyo na ini lake, uviweke pembeni; lakini matumbo yatupe. Hiyo nyongo yake, moyo na ini lake vinafaa kwa dawa.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 6:4
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo