Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 6:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Malaika akamwambia, Je! Huyakumbuki mausia aliyokuusia baba yako, ya kuwa uchukue mke wa jamaa yako? Na sasa, ndugu yangu, unisikilize, madhali yapasa awe mke wako; wala usimjali yule jini; kwa maana hata usiku huu huyu ataozwa kuwa mke wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Utakapoingia chumbani kulala, chukua ule moyo wa samaki na ini, weka juu ya ubani unaoungua,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Utakapoingia chumbani kulala, chukua ule moyo wa samaki na ini, weka juu ya ubani unaoungua,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Malaika akamwambia, Je! Huyakumbuki mausia aliyokuusia baba yako, ya kuwa uchukue mke wa jamaa yako? Na sasa, ndugu yangu, unisikilize, madhali yapasa awe mke wako; wala usimjali yule jini; kwa maana hata usiku huu huyu ataozwa kuwa mke wako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

16 Utakapoingia chumbani kulala, chukua ule moyo wa samaki na ini, weka juu ya ubani unaoungua,

Tazama sura Nakili




Tobiti 6:16
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo