Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 6:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Nami ni mwana pekee wa baba yangu; nami naogopa nisije nikaingia, nikafa kama wale walionitangulia; maana jini ampenda, ambaye hamdhuru mtu ila wale wamkaribiao. Na sasa naogopa nisije nikafa, nikaleta maisha ya baba yangu na mama yangu kaburini kwa huzuni kwa ajili yangu; wala hawana mwana mwingine wa kuwazika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Malaika akamjibu, “Hivi umekwisha sahau maagizo ya baba yako? Alikuambia umwoe mwanamke wa kabila lako. Basi, nisikilize kwa makini. Usihangaike juu ya hilo jini. Mchukue Sara! Najua kwamba leo usiku Ragueli atakuruhusu umwoe Sara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Malaika akamjibu, “Hivi umekwisha sahau maagizo ya baba yako? Alikuambia umwoe mwanamke wa kabila lako. Basi, nisikilize kwa makini. Usihangaike juu ya hilo jini. Mchukue Sara! Najua kwamba leo usiku Ragueli atakuruhusu umwoe Sara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Nami ni mwana pekee wa baba yangu; nami naogopa nisije nikaingia, nikafa kama wale walionitangulia; maana jini ampenda, ambaye hamdhuru mtu ila wale wamkaribiao. Na sasa naogopa nisije nikafa, nikaleta maisha ya baba yangu na mama yangu kaburini kwa huzuni kwa ajili yangu; wala hawana mwana mwingine wa kuwazika.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

15 Malaika akamjibu, “Hivi umekwisha sahau maagizo ya baba yako? Alikuambia umwoe mwanamke wa kabila lako. Basi, nisikilize kwa makini. Usihangaike juu ya hilo jini. Mchukue Sara! Najua kwamba leo usiku Ragueli atakuruhusu umwoe Sara.

Tazama sura Nakili




Tobiti 6:15
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo