Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 6:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Kisha yule kijana akamjibu malaika, Ndugu yangu Azaria, mimi nimesikia ya kama mwanamwali huyu ameolewa na waume saba, nao wote wameangamia katika chumba cha arusi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Tena nimesikia kwamba jini ndilo lililowaua. Jini hilo halimdhuru Sara, lakini humuua kila mwanamume anayejaribu kumsogelea Sara. Naliogopa jini hilo. Mimi ni mtoto wa pekee kwa wazazi wangu, na kama nikifa wazazi wangu wataaga dunia kwa uchungu wa kifo changu. Hawana hata mwana mwingine wa kuwazika.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Tena nimesikia kwamba jini ndilo lililowaua. Jini hilo halimdhuru Sara, lakini humuua kila mwanamume anayejaribu kumsogelea Sara. Naliogopa jini hilo. Mimi ni mtoto wa pekee kwa wazazi wangu, na kama nikifa wazazi wangu wataaga dunia kwa uchungu wa kifo changu. Hawana hata mwana mwingine wa kuwazika.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Kisha yule kijana akamjibu malaika, Ndugu yangu Azaria, mimi nimesikia ya kama mwanamwali huyu ameolewa na waume saba, nao wote wameangamia katika chumba cha harusi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

14 Tena nimesikia kwamba jini ndilo lililowaua. Jini hilo halimdhuru Sara, lakini humuua kila mwanamume anayejaribu kumsogelea Sara. Naliogopa jini hilo. Mimi ni mtoto wa pekee kwa wazazi wangu, na kama nikifa wazazi wangu wataaga dunia kwa uchungu wa kifo changu. Hawana hata mwana mwingine wa kuwazika.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 6:14
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo