Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 6:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Basi sasa unisikilize, nami nitasema na baba yake; hata tutakaporudi kutoka Rage tutafanya arusi. Kwa maana najua ya kwamba Ragueli hawezi kumwoza kwa mwingine, kama iamuruvyo Torati ya Musa, ila itampasa kufa; kwa sababu ni haki yako kuupokea urithi huu kuliko mtu mwingine wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kisha Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria, nimekwisha sikia yaliyowapata waume saba wa Sara, jinsi kila mmoja wao alivyokufa ghafla siku ya harusi; kila mmoja alikufa kabla ya kulala naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kisha Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria, nimekwisha sikia yaliyowapata waume saba wa Sara, jinsi kila mmoja wao alivyokufa ghafla siku ya harusi; kila mmoja alikufa kabla ya kulala naye.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Basi sasa unisikilize, nami nitasema na baba yake; hata tutakaporudi kutoka Rage tutafanya harusi. Kwa maana najua ya kwamba Ragueli hawezi kumwoza kwa mwingine, kama iamuruvyo Torati ya Musa, ila itampasa kufa; kwa sababu ni haki yako kuupokea urithi huu kuliko mtu mwingine wote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

13 Kisha Tobia akamwambia Rafaeli, “Ndugu yangu Azaria, nimekwisha sikia yaliyowapata waume saba wa Sara, jinsi kila mmoja wao alivyokufa ghafla siku ya harusi; kila mmoja alikufa kabla ya kulala naye.

Tazama sura Nakili




Tobiti 6:13
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo