Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 6:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 malaika alimwambia yule kijana, Ndugu yangu, leo tutatua kwa Ragueli, aliye jamaa yako; naye ana binti yake pekee, jina lake Sara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kimila wewe ni wa karibu sana naye na unayo haki ya kumwoa Sara na kurithi mali ya baba yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kimila wewe ni wa karibu sana naye na unayo haki ya kumwoa Sara na kurithi mali ya baba yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 malaika alimwambia yule kijana, Ndugu yangu, leo tutatua kwa Ragueli, aliye jamaa yako; naye ana binti yake pekee, jina lake Sara.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

11 Kimila wewe ni wa karibu sana naye na unayo haki ya kumwoa Sara na kurithi mali ya baba yake.

Tazama sura Nakili




Tobiti 6:11
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo