Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 5:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Akamwita, naye akaja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Tobia aliingia ndani, na kumwambia baba yake, “Nimempata Mwisraeli mwenzangu atakayenisindikiza katika safari yangu.” Tobiti akajibu, “Mwite aje ndani. Ningependa kujua ni wa jamaa gani na kabila gani, na kama ni mtu wa kuaminika safarini pamoja nawe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Tobia aliingia ndani, na kumwambia baba yake, “Nimempata Mwisraeli mwenzangu atakayenisindikiza katika safari yangu.” Tobiti akajibu, “Mwite aje ndani. Ningependa kujua ni wa jamaa gani na kabila gani, na kama ni mtu wa kuaminika safarini pamoja nawe.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Akamwita, naye akaja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

9 Tobia aliingia ndani, na kumwambia baba yake, “Nimempata Mwisraeli mwenzangu atakayenisindikiza katika safari yangu.” Tobiti akajibu, “Mwite aje ndani. Ningependa kujua ni wa jamaa gani na kabila gani, na kama ni mtu wa kuaminika safarini pamoja nawe.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 5:9
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo