Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili Tobiti 5:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Basi alimpa ile hati; akamwambia, Kajitafutie mtu atakayefuatana nawe, nami nitampa mshahara wake nikiwa bado hai; kisha uende ukaipokee ile fedha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Hapo Tobiti akamjibu mwanawe Tobia, “Gabaeli na mimi tuliandika hati ya mapatano na kuweka sahihi zetu. Kisha tukaipasua katikati; nusu moja anayo yeye pamoja na fedha na nusu nyingine ninayo mimi. Tulikabidhiana miaka ishirini iliyopita! Sasa, nenda ukamtafute mtu wa kuaminika atakayekusindikiza hadi Media na kurudi nawe hapa. Mtakaporudi tutamlipa mshahara wake. Lakini ni lazima uipate fedha niliyomwachia Gabaeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Hapo Tobiti akamjibu mwanawe Tobia, “Gabaeli na mimi tuliandika hati ya mapatano na kuweka sahihi zetu. Kisha tukaipasua katikati; nusu moja anayo yeye pamoja na fedha na nusu nyingine ninayo mimi. Tulikabidhiana miaka ishirini iliyopita! Sasa, nenda ukamtafute mtu wa kuaminika atakayekusindikiza hadi Media na kurudi nawe hapa. Mtakaporudi tutamlipa mshahara wake. Lakini ni lazima uipate fedha niliyomwachia Gabaeli.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Basi alimpa ile hati; akamwambia, Kajitafutie mtu atakayefuatana nawe, nami nitampa mshahara wake nikiwa bado hai; kisha uende ukaipokee ile fedha. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA3 Hapo Tobiti akamjibu mwanawe Tobia, “Gabaeli na mimi tuliandika hati ya mapatano na kuweka sahihi zetu. Kisha tukaipasua katikati; nusu moja anayo yeye pamoja na fedha na nusu nyingine ninayo mimi. Tulikabidhiana miaka ishirini iliyopita! Sasa, nenda ukamtafute mtu wa kuaminika atakayekusindikiza hadi Media na kurudi nawe hapa. Mtakaporudi tutamlipa mshahara wake. Lakini ni lazima uipate fedha niliyomwachia Gabaeli.” Tazama sura |