Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 5:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Bali Ana, mama yake, akalia; akamwambia Tobiti, Mbona umemsafirisha mtoto wetu? Siye fimbo yetu ya mkononi, kwa kuingia na kutoka mbele yetu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ndipo Ana, mama yake Tobia akaanza kulia, akamwambia mumewe, “Unawezaje kumtuma mtoto wetu mbali namna hiyo? Yeye ndiye tegemeo letu akiwa pamoja nasi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ndipo Ana, mama yake Tobia akaanza kulia, akamwambia mumewe, “Unawezaje kumtuma mtoto wetu mbali namna hiyo? Yeye ndiye tegemeo letu akiwa pamoja nasi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Bali Ana, mama yake, akalia; akamwambia Tobiti, Mbona umemsafirisha mtoto wetu? Siye fimbo yetu ya mkononi, kwa kuingia na kutoka mbele yetu?

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

18 Ndipo Ana, mama yake Tobia akaanza kulia, akamwambia mumewe, “Unawezaje kumtuma mtoto wetu mbali namna hiyo? Yeye ndiye tegemeo letu akiwa pamoja nasi.

Tazama sura Nakili




Tobiti 5:18
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo