Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 5:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Akamwambia Tobia, Kajiweke tayari kwa safari; naye Mungu akujalieni safari njema. Naye mwanawe alipokwisha kuyaweka tayari mahitaji yake ya safari, baba yake akamwambia, Nenda na mtu huyu; na Mungu akaaye mbinguni ataifanikisha safari yenu; na malaika wake afuatane nanyi. Hivyo wakaondoka wote wawili, na mbwa wa yule kijana akafuatana nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi Tobiti akasema, “Ndugu, nakutakia baraka za Mungu.” Kisha akamwita Tobia, akamwambia, “Mwanangu, tayarisha kila kitu mnachohitaji kwa safari, uondoke pamoja na ndugu yako. Mungu wa mbinguni awalinde huko ngambo, awarudishe kwangu salama salimini. Malaika wake aende nanyi na kuwalinda njiani, mwanangu!” Kabla ya kuanza safari ya Media, Tobia alimbusu baba yake na mama yake. Tobiti akamwambia, “Safari njema!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi Tobiti akasema, “Ndugu, nakutakia baraka za Mungu.” Kisha akamwita Tobia, akamwambia, “Mwanangu, tayarisha kila kitu mnachohitaji kwa safari, uondoke pamoja na ndugu yako. Mungu wa mbinguni awalinde huko ng'ambo, awarudishe kwangu salama salimini. Malaika wake aende nanyi na kuwalinda njiani, mwanangu!” Kabla ya kuanza safari ya Media, Tobia alimbusu baba yake na mama yake. Tobiti akamwambia, “Safari njema!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Akamwambia Tobia, Kajiweke tayari kwa safari; naye Mungu akujalieni safari njema. Naye mwanawe alipokwisha kuyaweka tayari mahitaji yake ya safari, baba yake akamwambia, Nenda na mtu huyu; na Mungu akaaye mbinguni ataifanikisha safari yenu; na malaika wake afuatane nanyi. Hivyo wakaondoka wote wawili, na mbwa wa yule kijana akafuatana nao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

17 Basi Tobiti akasema, “Ndugu, nakutakia baraka za Mungu.” Kisha akamwita Tobia, akamwambia, “Mwanangu, tayarisha kila kitu mnachohitaji kwa safari, uondoke pamoja na ndugu yako. Mungu wa mbinguni awalinde huko ngambo, awarudishe kwangu salama salimini. Malaika wake aende nanyi na kuwalinda njiani, mwanangu!” Kabla ya kuanza safari ya Media, Tobia alimbusu baba yake na mama yake. Tobiti akamwambia, “Safari njema!”

Tazama sura Nakili




Tobiti 5:17
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo