Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 5:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Akamwambia, Je! Watafuta kabila na jamaa, au mtu wa mshahara kwenda na mwanao? Tobiti akamwambia, Ndugu, nina haja kujua jamaa yako na jina lako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Lakini Rafaeli akamwuliza, “Kwa nini unataka kujua kabila langu?” Naye Tobiti akaendelea kusema, “Nataka kujua kwa hakika wazazi wako ni nani na jina lako ni nani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Lakini Rafaeli akamwuliza, “Kwa nini unataka kujua kabila langu?” Naye Tobiti akaendelea kusema, “Nataka kujua kwa hakika wazazi wako ni nani na jina lako ni nani.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Akamwambia, Je! Watafuta kabila na jamaa, au mtu wa mshahara kwenda na mwanao? Tobiti akamwambia, Ndugu, nina haja kujua jamaa yako na jina lako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

12 Lakini Rafaeli akamwuliza, “Kwa nini unataka kujua kabila langu?” Naye Tobiti akaendelea kusema, “Nataka kujua kwa hakika wazazi wako ni nani na jina lako ni nani.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 5:12
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo