Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 4:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Alipomwita akamwambia, Mwanangu, nitakapokufa unizike; tena usimdharau mama yako; bali umheshimu siku zote za maisha yako, ukayatende yampendezayo, wala usimhuzunishe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, Tobiti akamwita Tobia, akamwambia, “Mwanangu, nitakapofariki, unizike ipasavyo. Kisha lazima umheshimu mama yako, umtunze vizuri maisha yako yote. Timiza mambo yote anayotaka uyafanye wala usimhuzunishe kwa vyovyote vile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, Tobiti akamwita Tobia, akamwambia, “Mwanangu, nitakapofariki, unizike ipasavyo. Kisha lazima umheshimu mama yako, umtunze vizuri maisha yako yote. Timiza mambo yote anayotaka uyafanye wala usimhuzunishe kwa vyovyote vile.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Alipomwita akamwambia, Mwanangu, nitakapokufa unizike; tena usimdharau mama yako; bali umheshimu siku zote za maisha yako, ukayatende yampendezayo, wala usimhuzunishe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

3 Basi, Tobiti akamwita Tobia, akamwambia, “Mwanangu, nitakapofariki, unizike ipasavyo. Kisha lazima umheshimu mama yako, umtunze vizuri maisha yako yote. Timiza mambo yote anayotaka uyafanye wala usimhuzunishe kwa vyovyote vile.

Tazama sura Nakili




Tobiti 4:3
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo