Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 4:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Wala usihofu, mwanangu, ya kuwa tumekuwa maskini; maana una mali nyingi, huku ukimcha Mungu, na kujiepusha na dhambi zote, na kutenda mambo yale yampendezayo machoni pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi, usiwe na hofu kwamba sisi tumekuwa maskini. Kama ukimcha Mungu, ukaepukana na kila dhambi na kutenda yanayompendeza utakuwa na mali nyingi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi, usiwe na hofu kwamba sisi tumekuwa maskini. Kama ukimcha Mungu, ukaepukana na kila dhambi na kutenda yanayompendeza utakuwa na mali nyingi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Wala usihofu, mwanangu, ya kuwa tumekuwa maskini; maana una mali nyingi, huku ukimcha Mungu, na kujiepusha na dhambi zote, na kutenda mambo yale yampendezayo machoni pake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

21 Basi, usiwe na hofu kwamba sisi tumekuwa maskini. Kama ukimcha Mungu, ukaepukana na kila dhambi na kutenda yanayompendeza utakuwa na mali nyingi.”

Tazama sura Nakili




Tobiti 4:21
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo