Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili Tobiti 4:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Umhimidi BWANA, Mungu wako, siku zote. Umwombe Yeye ili njia zako zinyoshwe, na mapito yako yote na mashauri yako yote yafanikiwe; maana katika mataifa hakuna lenye shauri; bali BWANA mwenyewe ndiye atoaye mema yote, naye humdhili yeyote atakaye na kama atakavyo. Basi, mwanangu, uyakumbuke mausia yangu, wala usiyaache kufutika katika nia yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Umtukuze Bwana Mungu wako siku zote. Umwombe aongoze njia zako na kuzifanikisha shughuli zako. Maana hekima si mali ya kila taifa. Mungu mwenyewe ndiye awapaye mema yote. Akitaka humwangusha mtu hata mpaka kuzimu. Basi Mwanangu uyakumbuke mawaidha yangu wala usiyaache yafutike moyoni mwako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Umtukuze Bwana Mungu wako siku zote. Umwombe aongoze njia zako na kuzifanikisha shughuli zako. Maana hekima si mali ya kila taifa. Mungu mwenyewe ndiye awapaye mema yote. Akitaka humwangusha mtu hata mpaka kuzimu. Basi Mwanangu uyakumbuke mawaidha yangu wala usiyaache yafutike moyoni mwako. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Umhimidi BWANA, Mungu wako, siku zote. Umwombe Yeye ili njia zako zinyoshwe, na mapito yako yote na mashauri yako yote yafanikiwe; maana katika mataifa hakuna lenye shauri; bali BWANA mwenyewe ndiye atoaye mema yote, naye humdhili yeyote atakaye na kama atakavyo. Basi, mwanangu, uyakumbuke mausia yangu, wala usiyaache kufutika katika nia yako. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA19 Umtukuze Bwana Mungu wako siku zote. Umwombe aongoze njia zako na kuzifanikisha shughuli zako. Maana hekima si mali ya kila taifa. Mungu mwenyewe ndiye awapaye mema yote. Akitaka humwangusha mtu hata mpaka kuzimu. Basi Mwanangu uyakumbuke mawaidha yangu wala usiyaache yafutike moyoni mwako. Tazama sura |