Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili Tobiti 4:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Utake shauri kwa kila mtu aliye na hekima, wala usilidharau shauri la kufaa lenye njia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Omba shauri kwa watu wenye busara, wala usidharau shauri lenye kufaa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Omba shauri kwa watu wenye busara, wala usidharau shauri lenye kufaa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Utake shauri kwa kila mtu aliye na hekima, wala usilidharau shauri la kufaa lenye njia. Tazama suraBIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA18 Omba shauri kwa watu wenye busara, wala usidharau shauri lenye kufaa. Tazama sura |