Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 4:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Mshahara wa mtu yeyote aliyekufanyia kazi usikae nao, bali umpe mara; maana wewe ukimtumikia Mungu, Yeye atakulipa. Mwanagu, uwe na hadhari katika matendo yako yote, pia uwe na busara katika mwenendo wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 “Usiiweke mishahara ya vibarua wako mpaka kesho yake. Lazima uwalipe mara moja. Kama ukimheshimu Mungu, yeye atakupa tuzo lako. Uwe mwangalifu katika matendo yako yote; uwe na nidhamu katika mwenendo wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 “Usiiweke mishahara ya vibarua wako mpaka kesho yake. Lazima uwalipe mara moja. Kama ukimheshimu Mungu, yeye atakupa tuzo lako. Uwe mwangalifu katika matendo yako yote; uwe na nidhamu katika mwenendo wako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

14 Mshahara wa mtu yeyote aliyekufanyia kazi usikae nao, bali umpe mara; maana wewe ukimtumikia Mungu, Yeye atakulipa. Mwanagu, uwe na hadhari katika matendo yako yote, pia uwe na busara katika mwenendo wako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

14 “Usiiweke mishahara ya vibarua wako mpaka kesho yake. Lazima uwalipe mara moja. Kama ukimheshimu Mungu, yeye atakupa tuzo lako. Uwe mwangalifu katika matendo yako yote; uwe na nidhamu katika mwenendo wako.

Tazama sura Nakili




Tobiti 4:14
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo