Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 3:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Kwa maana hawakuzitii amri zako; kwa hiyo umetutoa tuwe mateka, hata na kuuawa; kuwa mithali ya shutumu kwao mataifa yote, ambao kwamba tumetawanyika katikati yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Wao hawakuzitii amri zako; kwa hiyo ukatuacha tushambuliwe, tuhamishwe na kuuawa. Ulitufanya kuwa fedheha na dharau miongoni mwa mataifa yote tulimotawanywa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Wao hawakuzitii amri zako; kwa hiyo ukatuacha tushambuliwe, tuhamishwe na kuuawa. Ulitufanya kuwa fedheha na dharau miongoni mwa mataifa yote tulimotawanywa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Kwa maana hawakuzitii amri zako; kwa hiyo umetutoa tuwe mateka, hata na kuuawa; kuwa mithali ya shutuma kwao mataifa yote, ambao kwamba tumetawanyika katikati yao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

4 Wao hawakuzitii amri zako; kwa hiyo ukatuacha tushambuliwe, tuhamishwe na kuuawa. Ulitufanya kuwa fedheha na dharau miongoni mwa mataifa yote tulimotawanywa.

Tazama sura Nakili




Tobiti 3:4
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo