Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 3:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Rafaeli akatumwa ili awaponye wote wawili, yaani, kuviambua vyamba vyeupe kutoka macho ya Tobiti; na kumwongoza Sara binti Ragueli aolewe na Tobia mwana wa Tobiti; tena kumfunga Asmodeo, yule jini; kwa sababu ni haki yake Tobia kumwoa Sara, maana yu mrithi. Hivyo wakati ule ule mmoja Tobiti alirudi akaingia nyumbani mwake, naye Sara binti Ragueli alishuka katika chumba chake cha juu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 naye akamtuma malaika Rafaeli kuwasaidia. Alitumwa kuondoa vile vigamba vyeupe machoni mwa Tobiti ili aweze kuona tena, na kufanya mipango ya ndoa kati ya Sara na Tobia, mwana wa Tobiti; Tobia alikuwa binamu ya Sara, na hivi alikuwa na haki ya kumwoa Sara. Rafaeli aliagizwa pia kuliondoa lile jini Asmodeo, lililokuwa limempagaa Sara. Naam, dakika ileile Tobiti alipoingia nyumbani mwake kutoka uani, Sara naye alikuwa akishuka kutoka ghorofani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 naye akamtuma malaika Rafaeli kuwasaidia. Alitumwa kuondoa vile vigamba vyeupe machoni mwa Tobiti ili aweze kuona tena, na kufanya mipango ya ndoa kati ya Sara na Tobia, mwana wa Tobiti; Tobia alikuwa binamu ya Sara, na hivi alikuwa na haki ya kumwoa Sara. Rafaeli aliagizwa pia kuliondoa lile jini Asmodeo, lililokuwa limempagaa Sara. Naam, dakika ileile Tobiti alipoingia nyumbani mwake kutoka uani, Sara naye alikuwa akishuka kutoka ghorofani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Rafaeli akatumwa ili awaponye wote wawili, yaani, kuviambua vyamba vyeupe kutoka macho ya Tobiti; na kumwongoza Sara binti Ragueli aolewe na Tobia mwana wa Tobiti; tena kumfunga Asmodeo, yule jini; kwa sababu ni haki yake Tobia kumwoa Sara, maana yu mrithi. Hivyo wakati ule ule mmoja Tobiti alirudi akaingia nyumbani mwake, naye Sara binti Ragueli alishuka katika chumba chake cha juu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

17 naye akamtuma malaika Rafaeli kuwasaidia. Alitumwa kuondoa vile vigamba vyeupe machoni mwa Tobiti ili aweze kuona tena, na kufanya mipango ya ndoa kati ya Sara na Tobia, mwana wa Tobiti; Tobia alikuwa binamu ya Sara, na hivi alikuwa na haki ya kumwoa Sara. Rafaeli aliagizwa pia kuliondoa lile jini Asmodeo, lililokuwa limempagaa Sara. Naam, dakika ileile Tobiti alipoingia nyumbani mwake kutoka uani, Sara naye alikuwa akishuka kutoka ghorofani.

Tazama sura Nakili




Tobiti 3:17
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo