Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 3:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 wala sijalinajisi jina langu wakati wowote, wala jina la baba yangu, katika nchi ya kufungwa kwetu. Mimi ni binti pekee wa baba yangu, wala hana mtoto yeyote kuwa mrithi wake, wala ndugu aliye karibu; wala mwana wa ndugu yake, ambaye kwa ajili yake nijilinde ili niolewe naye. Waume zangu saba sasa wamekwisha kufa; mbona basi niishi mimi? Lakini ikiwa haikupendezi nife, uamuru niangaliwe na kuhurumiwa, nisizidi kusikia mashutumu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Sijalichafua jina langu wala jina la baba yangu nchini humu nilikohamishiwa. Mimi ni mtoto wa pekee wa baba yangu, yeye hana mtoto mwingine wa kumrithi, wala hana jamaa ambaye ataweza kunioa. Nimekwisha poteza wanaume saba; kwa nini niendelee kuishi? Kama hupendi kuniondoa duniani, walau uniangalie kwa huruma. Siwezi kustahimili kuendelea kushutumiwa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Sijalichafua jina langu wala jina la baba yangu nchini humu nilikohamishiwa. Mimi ni mtoto wa pekee wa baba yangu, yeye hana mtoto mwingine wa kumrithi, wala hana jamaa ambaye ataweza kunioa. Nimekwisha poteza wanaume saba; kwa nini niendelee kuishi? Kama hupendi kuniondoa duniani, walau uniangalie kwa huruma. Siwezi kustahimili kuendelea kushutumiwa!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 wala sijalinajisi jina langu wakati wowote, wala jina la baba yangu, katika nchi ya kufungwa kwetu. Mimi ni binti pekee wa baba yangu, wala hana mtoto yeyote kuwa mrithi wake, wala ndugu aliye karibu; wala mwana wa ndugu yake, ambaye kwa ajili yake nijilinde ili niolewe naye. Waume zangu saba sasa wamekwisha kufa; mbona basi niishi mimi? Lakini ikiwa haikupendezi nife, uamuru niangaliwe na kuhurumiwa, nisizidi kusikia mashutumu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

15 Sijalichafua jina langu wala jina la baba yangu nchini humu nilikohamishiwa. Mimi ni mtoto wa pekee wa baba yangu, yeye hana mtoto mwingine wa kumrithi, wala hana jamaa ambaye ataweza kunioa. Nimekwisha poteza wanaume saba; kwa nini niendelee kuishi? Kama hupendi kuniondoa duniani, walau uniangalie kwa huruma. Siwezi kustahimili kuendelea kushutumiwa!”

Tazama sura Nakili




Tobiti 3:15
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo