Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 3:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Kwa hiyo aliomba, akielekea kwenye dirisha, akasema, Ee BWANA, Mungu wangu, umehimidiwa, na jina lako takatifu tukufu limehimidiwa, matendo yako yote na yakuhimidi milele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kisha Sara alisimama dirishani, akainua mikono yake na kusali: “Utukuzwe, ee Bwana Mungu wangu; liheshimiwe milele jina lako takatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kisha Sara alisimama dirishani, akainua mikono yake na kusali: “Utukuzwe, ee Bwana Mungu wangu; liheshimiwe milele jina lako takatifu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Kwa hiyo aliomba, akielekea kwenye dirisha, akasema, Ee BWANA, Mungu wangu, umehimidiwa, na jina lako takatifu tukufu limehimidiwa, matendo yako yote na yakuhimidi milele.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

11 Kisha Sara alisimama dirishani, akainua mikono yake na kusali: “Utukuzwe, ee Bwana Mungu wangu; liheshimiwe milele jina lako takatifu.

Tazama sura Nakili




Tobiti 3:11
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo