Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Kitabu hiki si kilichoandikwa kwa uvuvio wa Mungu, na si sehemu ya kanoni ya Kikristo wala Tanaki ya Kiyahudi. Kinaonyeshwa kwa madhumuni ya kihistoria na ya utafiti tu. Tazama maelezo kamili

Tobiti 3:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Alipoyasikia hayo alifanya huzuni nyingi, akaona afadhali kujinyonga. Akafikiri, Mimi ni binti pekee wa baba yangu; basi nikitenda hivi nitamwia shutumu; nitamshushia uzee wake kwa huzuni hata kaburini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Sara aliposikia maneno hayo alihuzunika sana na kutoa machozi, akapanda ghorofani akitaka kujinyonga. Lakini alipotafakari, akasema, “La! Sitajinyonga! Watu wasije wakamdharau baba yangu na kusema, ‘Ulikuwa na mtoto mmoja tu, binti ambaye ulimpenda sana, lakini alijinyonga kwa sababu ya uchungu!’ Jambo kama hilo litasababisha kifo cha baba yangu mzee, nami nitakuwa na hatia. Sitajiua mwenyewe, hasha; nitamwomba Bwana achukue roho yangu, nisisikie tena matusi kama yale!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Sara aliposikia maneno hayo alihuzunika sana na kutoa machozi, akapanda ghorofani akitaka kujinyonga. Lakini alipotafakari, akasema, “La! Sitajinyonga! Watu wasije wakamdharau baba yangu na kusema, ‘Ulikuwa na mtoto mmoja tu, binti ambaye ulimpenda sana, lakini alijinyonga kwa sababu ya uchungu!’ Jambo kama hilo litasababisha kifo cha baba yangu mzee, nami nitakuwa na hatia. Sitajiua mwenyewe, hasha; nitamwomba Bwana achukue roho yangu, nisisikie tena matusi kama yale!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Alipoyasikia hayo alifanya huzuni nyingi, akaona afadhali kujinyonga. Akafikiri, Mimi ni binti pekee wa baba yangu; basi nikitenda hivi nitamwia shutuma; nitamshushia uzee wake kwa huzuni hata kaburini.

Tazama sura Nakili

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

10 Sara aliposikia maneno hayo alihuzunika sana na kutoa machozi, akapanda ghorofani akitaka kujinyonga. Lakini alipotafakari, akasema, “La! Sitajinyonga! Watu wasije wakamdharau baba yangu na kusema, ‘Ulikuwa na mtoto mmoja tu, binti ambaye ulimpenda sana, lakini alijinyonga kwa sababu ya uchungu!’ Jambo kama hilo litasababisha kifo cha baba yangu mzee, nami nitakuwa na hatia. Sitajiua mwenyewe, hasha; nitamwomba Bwana achukue roho yangu, nisisikie tena matusi kama yale!”

Tazama sura Nakili




Tobiti 3:10
0 Marejeleo ya Msalaba  

Tufuate:

Matangazo


Matangazo